PEDICURE

preview_player
Показать описание
Sasa hivi wababa bora tuanze kununua wenyewe vifaa vya kuwarembea wake zetu, maana tunapoelekea atakuja kupasuka kiumbe wa mtu.... eti PEDICURE
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hiii story aliyekuandikia joti, , , 🤣🤣rudi tena bro, , , jmaa anajuaaa mnooo

pulltheskymusicgroup
Автор

😅😅😅😅😅 I have laughed so hard, sending love from 254 😅😅😅😅😅

tushfree
Автор

Watu mnasifaa🤣🤣 mi nawah nikafikir ndo ntakuwa wa kwanza

mrdaniel
Автор

Mimi nalinda nje yeye analinda mke wangu #yuleboy#kabangaonline

kabangaonline
Автор

JOTI Mungu anakuona😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃hii clip kwa upande wangu ni the best. Nimecheka jaman hadi nalia

nunuuali
Автор

😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani tuacheni wakaka wa watu watupake kwa sh.elfu tano, ,

annkirethi
Автор

Yaani wempogoro mwenzangu, huniachagi salama ndugu yako

omarymohamed
Автор

Upendo wa Agape 😂😂😂😂😂😂joti niache 🙌🏼🙌🏼🙌🏼😂😂😂

aishaelias
Автор

Daah kazi hizi yaan mtu anaitwa ‘kucha’😅😅😅😅🤣🤣🤣😂😂🤣😂daah

missangel
Автор

Ebu nipen na mimi hizo like nione kama zinafaida au no; nakam kunafaida nitawajuza ila kama azipo tuache ujinga wakuomba like?! Nipen like apa

samtz
Автор

hawa wapakaji rang wanavizia mda ule tushaenda makazin wao ndo wanapta majumban😂😂😂ila jot duuh unasugua had mapaja

ahmadsaid
Автор

Joti this is the best clip ever nairudia kila mara..mecheka sana

pendomangondi
Автор

Looo ningemuacha na mguu mmoja haujasafishwa kisa cha kufa🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🤣🤣🤣

ashaali
Автор

Oyo oooo mmetisha man I'll hiyo kazi nzuri kweli manicure 😊😊😊

lomnyakijohn
Автор

Mlitawaliwa na wazaire kweli joti uko serious kweli😂😂😂

kijokombao
Автор

😀😀😀 keep it up joti comedy zako sio za kubabaisha

hassansozigwa
Автор

Oya mwamba mb zangu sijaenda hasara Ila na wew rudi original comedy bhana unajua

monishapaul
Автор

Hahahahahaha dah pedicure....dah wake zetu bwana wanaume hapooo like kwa joti....wetu...

simonsweka
Автор

Hahahah kipindi cha hii style ya kwa shitua nakumbuka nilikuwa 4m4 shule yote tulikuwa tunashitua kijoti had mkuu wa shle ikabid alisimamie hili swala

barakarobert
Автор

Kwa kweli Kenya huwez ona kazi hii ikifanywa na wanaume mitaani, hawa watz wanafanya kazii hii ili wachukue wake za watu na waschana kw jumla na siwez kubali ata dadangu afanyiwe ivyo

kijanahodari
visit shbcf.ru