SAUTI YA MWANAKWAYA ILIYOWASHANGAZA WENGI MISA YA UPADRISHO PAROKIA YA MT.BONAVENTURE KINYEREZI

preview_player
Показать описание
Karibuni sana katika Channeli hii inayomilikiwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania {TEC}ikiwa ni moja ya chombo cha Uinjilishaji kwa njia ya Sauti na Video.Pia unaweza kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii kama ifuatavyo.

Whatsup: 0738 916 628...KANISA KATOLIKI TANZANIA

Usisahau Kusubscribe,like na kushare maudhui yetu...
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hongera sana kuimba ni kisali mara mbili

honorathacassian
Автор

Sifa na utukufu ni kwake bwana hongera sana.❤❤🎉🎉

salomeshongola
Автор

Mbona umejipamba kama Yezebeli? Ndugu yangu mapambo ni dhambi kwakuwa ni ibada ya kishetani. Hubirini juu ya dhambi

josephmusagasa
Автор

Vigelegele kwenye wimbo wa Kati umekuwa unaondoa usikivu. Hasa wakisoma mashairi watoto au vijana

mariahaule
Автор

kanisani kwetu kinyerez hiyo hobgera sanaaaa madamu wetuuuu❤❤❤❤❤❤

IreneeAnod
Автор

Nyimbo hizi ninapozikia najisikia amani


...

rehemamwamakula
Автор

Sauti tamu hakika Mwenyezi Mungu atukuzwe milele na milele Amina

benedictkihombo
Автор

Safi sana mungu akuzidishie uzima katika uimbaji hakika sauti tamu 4:34

PitusKamugisha
Автор

Kuimba ni kusali mala mbili mungu aidumishe kalama hiyo ndani yako

DanielBhutok-gsjw
Автор

Uimbaji Zaburi unaosisimua na kuinua moyo wa ibada

josephlango
Автор

Enendeni ulimwenguni mwote aleluya, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu.

beatusidama
Автор

Nzuri Sana... tusapotiane kwa kusubscribe

michaelbaseke
Автор

Hakika ameimba vzr sana ukuu wa Mungu ni mkubwa maishani mwetu

godfreychita
Автор

Wapi hapo ?mwapendeza Mungu awabariki.

justinsalama