Napenda sana maubiri yako yapo sawa na dunia tunayoishi na aibagui dini mtu yoyote anaweza sikiliza na yakamsaidia
erickbulyota
Elimu nzuri sana mchungaji unaongelea maisha ya kawaida ya mwanadamu unatufungua macho
AlanNyongesa
Nabarikiwa sana mtumishi na mahubiri Yako kunawakati hua nalia tyu Kila usemalo kwangu limetokea na lipo hi o IPO siku nitafika kanisani nishuhudie na nikuone laivu
tagomshana
Ipm uko sahihi mungu azidi kukutumia ufungue ufahamu wa waliowengi
KebyMbwebwe
Jamani kuna Watumishi kweli wapo kazini Amina
rafaelikimati
Mungu anisaidie hii video inihusu na inifundishe na iwe ngazi ya mafanikio yangu.
Sosten-uw
Ni kweli mtumishi wa Mungu wachungaji wengi wanatetea hizo dhambi waumini wao wanavaa mavazi ya ajabu kanisani
Ni mambo ya ajabu na ya kutisha, Mungu atusaidie.
PelagiaBernard-xt
Ubarikiwe Sana IPM.Hakika Mungu Amekuleta Kwa Makusudi.Unaeleweka Sanaa.
bahatisalum
Mtumishi uko sahihi sana mungu akubariki
agustinofhoty
Shetani ali sema kweli kaka, siyo kila umbea ni mmbaya Pastor
jiwenzito
Asante sna brother, nitaenda na mafundisho yako na nitayaish
jameskapange
Aise Una nikugusa sana mungu akubariki
eliahmahozi
Mungu anisaidie Kwa huu mwaka niwzshia kuyajua saii nakuomba sna
conradighacho
Naona kufanikiwa kupitia ww mtumishi wa mungu
EmanuelJoseph-cxhz
Tena hasa pale kwa rita mlack😅😅barabara mbayaaa
DorethMselem
Mungu nisaidie nitimize malengo yangu🙏🙏🙏
JanethMbiki
Hahahaha eti usife kizembe tuuane siyo kirahisi mzeee
st.alvincollege
No one like you prophet pamoja na viongozi wetu wa dini lakini wewe unaweza kua kiongozi wa kweli kabisa nakili kwa kinywa changu naomba iwe ivo mpaka kwa Mungu