KWANINI KILA MIPANGO UNAYOIFANYA HAITIMII?

preview_player
Показать описание

Комментарии
Автор

Napenda sana maubiri yako yapo sawa na dunia tunayoishi na aibagui dini mtu yoyote anaweza sikiliza na yakamsaidia

erickbulyota
Автор

Elimu nzuri sana mchungaji unaongelea maisha ya kawaida ya mwanadamu unatufungua macho

AlanNyongesa
Автор

Nabarikiwa sana mtumishi na mahubiri Yako kunawakati hua nalia tyu Kila usemalo kwangu limetokea na lipo hi o IPO siku nitafika kanisani nishuhudie na nikuone laivu

tagomshana
Автор

Ipm uko sahihi mungu azidi kukutumia ufungue ufahamu wa waliowengi

KebyMbwebwe
Автор

Jamani kuna Watumishi kweli wapo kazini Amina

rafaelikimati
Автор

Mungu anisaidie hii video inihusu na inifundishe na iwe ngazi ya mafanikio yangu.

Sosten-uw
Автор

Ni kweli mtumishi wa Mungu wachungaji wengi wanatetea hizo dhambi waumini wao wanavaa mavazi ya ajabu kanisani
Ni mambo ya ajabu na ya kutisha, Mungu atusaidie.

PelagiaBernard-xt
Автор

Ubarikiwe Sana IPM.Hakika Mungu Amekuleta Kwa Makusudi.Unaeleweka Sanaa.

bahatisalum
Автор

Mtumishi uko sahihi sana mungu akubariki

agustinofhoty
Автор

Shetani ali sema kweli kaka, siyo kila umbea ni mmbaya Pastor

jiwenzito
Автор

Asante sna brother, nitaenda na mafundisho yako na nitayaish

jameskapange
Автор

Aise Una nikugusa sana mungu akubariki

eliahmahozi
Автор

Mungu anisaidie Kwa huu mwaka niwzshia kuyajua saii nakuomba sna

conradighacho
Автор

Naona kufanikiwa kupitia ww mtumishi wa mungu

EmanuelJoseph-cxhz
Автор

Tena hasa pale kwa rita mlack😅😅barabara mbayaaa

DorethMselem
Автор

Mungu nisaidie nitimize malengo yangu🙏🙏🙏

JanethMbiki
Автор

Hahahaha eti usife kizembe tuuane siyo kirahisi mzeee

st.alvincollege
Автор

No one like you prophet pamoja na viongozi wetu wa dini lakini wewe unaweza kua kiongozi wa kweli kabisa nakili kwa kinywa changu naomba iwe ivo mpaka kwa Mungu

graysonkhamsin
join shbcf.ru