MBOWE - LISSU - MNYIKA na PAMBALU WARUDISHWA DAR CHINI ya ULINZI MKALI wa POLISI-WAJIDHAMINI WENYEWE

preview_player
Показать описание
MBOWE - LISSU - MNYIKA na PAMBALU WARUDISHWA DAR CHINI ya ULINZI MKALI wa POLISI-WAJIDHAMINI WENYEWE....

Viongozi wakuu wa Chadema ambao ni Mwenyekiti Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu, Katibu Mkuu John Mnyika na Mwenyekiti wa BAVICHA John Pambalu wamerejeshwa Dar es salaam baada ya kushikiliwa na Polisi jijini Mbeya ambako walitarajiwa kuhudhuria siku ya vijana duniani ambayo kilele chake ni Agosti 12.

Jishindie Zawadi na Global TV

Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV

============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)

⚫️ OUR PLAYLISTS:

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Tokeni hapa wajinga kabisa ninyi msilete ujinga kwenye nchi yetu pumbavu

ndogoroedson