Je, Mama Samia atawapa UAMSHO msamaha wa RAIS? Kesi yao yatajwa tena bungeni

preview_player
Показать описание
Mbunge wa chama cha ACT Wazalendo jimbo la Konde kisiwani Pemba bwana Khatib Said Haji ameliibua suala la kesi ya Uamsho leo bungeni akisema mashekhe hao wananyimwa haki yao. Mashekhe hao wako rumande kwa muda wa miaka nane sasa huku DPP akisema kuwa ushahidi haujakamika. Kesi ya uamsho inasikilizwa tena mwezi huu kuanzia Tarehe 12 hadi 28 Aprili 2021.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hawa ndo wabunge tunaowahitaji watetezi wa wanyonge mungu atakulipa muheshimiwa kwa kuwatetea viongoz wetu

habibasule
Автор

Hongera Sana shujaa hakika Mungu atakupa thawabu Mbunge mwema wa haki!

franciscowilliam
Автор

Allah ajaalie kauli yako Baba iwe sababu ya kuwekwa huru kwa masheikh wetu.

saeedjuma
Автор

Mungu akup zaid kauli yakuwatet mashekh wet usivunjik moy

yadillkhamis
Автор

Allah akupe ujasiri was kutetea wananchi wako na In Shaa Allah atawapa imani watahukumiwa

nahyaabdulla
Автор

Mama Samia Suluh Hassan Mungu akupe Imani Ya kuwatowa Mashekhe Yetu

sirajuiliyasa
Автор

Mashallakh tabarak llakh Allah amuhifadh huyu kiumbe wake Allah akuhifadh umejitowa .

ramilialiy
Автор

Sawa sawa mungu akulipe kwa ukweli wako wanawaonea tu mashekhe wetu wawatoe miaka tisa wanateseka dah 🥺😭

ahmadsayyeed
Автор

Laaa ila llah yaa Allah naomba wepesi kwa mashehe wetu hakika wewe nimjuzi zaidi hakuna mola isipokuwa wewe Allah

rsbjvjdjgh
Автор

Watatoka kwa uwezo wa Allah inshaa Allah🙏🙏🙏

ebrahimosman
Автор

Asante mbunge wetu wakonde tutetee wanyonge

mgeniali
Автор

Mwenyez MUNGU akupe ujasiri wa kuwatetea wananch wako

cosmashamis
Автор

Hamna lolote mnalia kinafiki tu apo kunakiongozi mmoja alipoingia tu madarakani aliwatoa makafiri wenziwe gerezani ila mashekh wetu mpka kafariki hajawahi ata kuwagusia na misamaha kila mwaka anawatoa ila na nyinyi ipo siku yenu itawarudia kwa mnachowadhulumu mashekh wetu na waislamu wenzetu inauma sana

shekhalban
Автор

Jamani hiyo ninchi yetu sote Allah ametuchagua tuishi hapo ndio maana hatupo uturuki walamarekani waheshimiwa tekelezeni majukumu yenu kwa haki nahuruma

rsbjvjdjgh
Автор

A, aleikum Masha Allah kiukweli anataka Kukulia ila kwa sote tunalia kwa hicho🤣😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣 Allah atatulelete Neema kwa Zanzibar

kanaanrajab
Автор

Mungu atawap wepess mashekh wetu amiìii

khamisomar
Автор

Muheshimiwa mm nakuombeya kwa mungu azidi kukupa nguvu ya kuteteya wanyonge mungu akupe kila unacho kihitaji katika maisha yako amini

abdullatifhamidshaaban
Автор

Umeongea point baba ang Allah akupe uwezo na ujasir huo huo wa kuongea ukwel na kutetea haki ya wananch wanaoend magerez sio wote wenye hatia

cosmashamis
Автор

Subirini tu, iko siku sheria zenu zitawatafuna wenyewe na mtajuta nafsi zenu, endeleeni tu kujitia puuzo!

abashajji
Автор

Kwa uwez wa Allah InshaAllah Ramadhan hii itakuwa asbab kwa wao kutolewa huko waliko.patiently waiting for our days😭😭😭😭😭😭😭😭😭

amneothman