Tazama Jenerali Mabeyo alivyomuaga Rais Mwinyi | Amwambia maneno haya...

preview_player
Показать описание
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo amemuaga Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Mwinyi baada ya kumaliza muda wake wake utumishi ndani ya jeshi hilo.

Mabeyo amemuaga kiongozi huyo wa leo Jumatatu Juni 6, 2022 Ikulu ya Zanzibar.

Mabeyo anafikia kikomo cha utumishi mwisho wa mwezi huu akiwa amelitumikia jeshi hilo kwa kipindi cha miaka sita tangu alipoteulia na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano John Magufuli mwaka 2017.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Bridger General Mabeyo 🇹🇿🇰🇪🇺🇬 na Africa nzima tunakushukuru Kwa utendaji wako was kazi umekuwa mzalendo Kwa nchi Yako🇹🇿👏👏👏👏 mungu akupe afya njema na maisha marefu 🙏🙏🙏 mungu ibariki🇹🇿 mungu ibariki Africa .🌟🌟🌟🌟⚔️ Mabeyo salute kwako

josephraphael
Автор

Nimesikitika sana kusikia kuwa Komredi wetu, mpambanaji wetu, mkuu wetu wa Majeshi Anastaafu.Baba yetu Hongera sana kwa kulipambania Taifa lako Tanzania kwa Uaminifu mkubwa, na Pia ile Hofu ya MUNGU Iliyokuwa ndani yako. MUNGU Akubariki sana na Akupe maisha marefu Baba.We love you so much.

salamanhonya
Автор

MUNGU Ibariki Afrika, MUNGU Ibariki Tanzania. Binafsi Nakupenda sana Baba yangu, Mkuu wa majeshi, Nakuombea sana MUNGU Awe pamoja nawe kwa mambo yako yote.Amina.

salamanhonya
Автор

Duuuuúuuuuh hiiiinayo siyo nzuri kwangu, huyu kustafu imeniumiza mno

barakamanga
Автор

Duuu! Basi tu angeongezwa hata miaka kumi jamani huyu kiongozi mabeyo ni mwadilifu sana.

eliakamanga
Автор

Mungu akupe afya njema katika maisha yako ya kustaafu! Hongera Mkuu!!

jumakapilima
Автор

Bado tunamuhitaji huyu mzeee jamani dah😥

benjaminzabron
Автор

Daaah father father imeniuma sanaaaa natamani hata uongezewe muda dady sema ndo hivyo hatuna budi kukubaliana na kila jambo ila daaah VENANCE SALVATOR MABAYO Hakika utakumbukwa daima baba na pale. Watakapohitaji msaada wako usisite kusaidia na kufundisha pale unapoona pana makosa inaniuma sana but naamini MUNGU atazidi kukulinda na kukutunza daimaa dady, kazi tumeiona, taifa na vikosi vyako hakika umevitizama kama mboni yako ya jicho baba angu kustaafu kwako MUNGU azidi kukulinda akujalie afya ya kiroho na kimwili ULE MEMA YA NCHI dady...

Hekima
Busara
Heshima
Uaminifu na uadilifu
Hakika umetuachia wengi na nimejifunza mengi sana kutoka kwako dady hakika MUNGU akutunze

magrethswai
Автор

Naona Bado Mapema Sana Kwa CDF kuliasha Jeshi Vipi Tena

abdulhamis
Автор

Tulijua tuu!
Kila zama na kitabu chake!

madamedna
Автор

Mazoea mabaya Yani inatia uchungu Kama mtu hatutomuona Tena .

shabanijuma
Автор

Anastafu vp mabeho n muhula bado au m sielew kinachoendelea

thomaschambala