MGANGA ATOA SIRI KUHUSU UKATAJI WA VIDOLE / FAHAMU VINAPOPELEKWA VIDOLE IVO / DUNIA IMEISHA bank

preview_player
Показать описание
get insuarence click a bank
#trending #tanzania #wasafi

watch this:

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mganga sio.mganga... Ata ww kwaakili yako.kweli ukakatwee kidole na ujuy kidole.chako kinaenda wapi ee

daudlukumay
Автор

Masuala mengine Ni upotevu wa muda na kutumalizia Mb
Halengi point Ni wapi na kwann vidole vinakatwa, akiulizwa pia anajifanya kuficha. Tahadhari alotoa haiko mbali na ushauri was mtu yeyote!

morrisairo
Автор

Wajitiyekwenye maombi mungu atawasandiya🙏🧎‍♂️

fanunana
Автор

Hawa watu wote wanaenda kutolewa 😭 vindole wakamatwe 😎

mwendenzioki
Автор

Nasikitika sana, jee tuliwo katwa miguu hospital, miguu yetu iko wapi ikiwa pamoja na vidore vyetuu? awajapereka uko?? eeeh Mungu tusaidiye, Nakaiweke Miguu yetu mahari salama, Kama ninjama ya ma dakitari, Naomba muumbuke pia

nashichilale
Автор

Lisemwalo lipo kazi kwetu kuchunguza kwa makin

farhanialfarsi
Автор

Huyo siyo mganga wala nn lakini anasema kweli maisha ya mkato yana majuto ote wanao fanya hivyo jehanamu inawangoja

elizajackson
Автор

Ata kama sio mganga somo zuri umotoa kwa watanzanzania🙏🙏✊

kilogreekachananawatuwasio
Автор

Héla za mashetwani ya maframason ndajali ameshanza kazi yake yakupoteza binadamu haswa waisilamu kwa kupitia mambo yakukata vidole wananza kupiga mihori yavitambulisho yakesho akishaingia kwenye arzi

aminaabdallah
Автор

Vijan msitake vitu kirahisi mtakuja kuishia pabaya

kazikazi
Автор

Hakuna pesa ya haraka haraka.na hakuna maisha ya mkato.kufanya kazi na kula jasho yako ndio haki.fanyeni kazi

mwanasitidettwiler
Автор

Hahahahaha watu wanapambana kutafta kiki mitandaon ngoja nitawaita mje mnifanyie interview lakin mnapenda kutupiga kila wakati

florensjames
Автор

Pumbavu Sana wa mtangazaji Zimbabwe gani wanaongea kibongo?

peninamrimbo
Автор

Maisha magumu jaman.. .mtaani hela amnaa

sarajohn
Автор

Hakuna. Hapo. Unganga ni uongo kabisa

josephinemuyona
Автор

Uyu bwege tu....mganga gani anakubali kufanyiwa interview 😒

TheBastarrrd
Автор

Hiii duniaa inaelekeaa pabaya Sana'a yan hawa wakata vidole wangekamatwa kW kwel

oyamasela
Автор

Mganga sio.mganga... Ata ww kwaakili yako.kweli ukakatwee kidole na ujuy kidole.chako kinaenda wapi ee

daudlukumay
Автор

Wabongo sijui tukoje:yani mkianza kung'ang'ana na kitu kimoja icho icho kila siku ndomaana tunaachwa kwenye maendeleo badala yake tunaishia kulalamika hari ngumu kumbe ni kwasababu ya ujinga wenu

alphoncekiliani
Автор

Mganga sio.mganga... Ata ww kwaakili yako.kweli ukakatwee kidole na ujuy kidole.chako kinaenda wapi ee

daudlukumay