CHID BEENZ atoa NGOMA yake aliyodai kamshrikisha 2PAC, 'DONT CRY' Hiki ndicho alichofanya

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Ukitaka kujuwa madawa Ni hatari.. ndo Aya madhara yake... Halipe auze Nini labda akawe muonja madawa ya kulevya tu ... Wakimuona watampotezea tu..

jejufima
Автор

Nilivyo isoma iyo captain nkaona jamaa choko

Lifelessons
Автор

Hana uwezo kulipia hivyo vionjo vya Tupac, ikifungiwa hiyo nyimbo asilie.

francissamson
Автор

Jamani chidi benz ingekuwa hakufanya utaratibu ndani ya track yake ingeingia emo kitu kinachoitwa copyright jamani chifi kaweza ndani ya track yake mimi sikuona copyright yoyote gonga like kwa chidi benz

thomsy_black
Автор

Chidi ataweza kulipia watu wa 2Pac kwa kutumia voice hio???
Yule jamaa msahafu tu aliowahi kuu sign umeuzwa about $50k hio ni ni almost Tsh 100+ million ya kitanzania

BigZhumbe