HOUSE GIRL EP 08 | S3 | Love Story 💕💞

preview_player
Показать описание
HOUSE GIRL SEASON 3
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Kwa kweri mimi, sania na kendi siwapendi ata kidogo

Munyakuri
Автор

Cjui km Tasha utaponepo naona kila afanyacho Kai kinafeli ❤❤❤tunao muombea Tasha tujuane

boyflany
Автор

Bibi naenda ukamzadie zuu jamani, , wanao amini bibi ataokoa zuu gonga like hapa

CarolineBosibori-rr
Автор

Wanaoamini kuwa Bibi Zuu anaenda kuwa chanjo cha Batuli kuondoka kwa Zuu ili awe sawa, piga like tukisonga🎉🎉

christinewanga
Автор

Ww candy ww siku zote ubaya ubwela ipo siku kitakugeukia zuu wetu hafi gonga like nyingi kama mpo pamoja namm😢😢

JescaDenis-dr
Автор

Kuna watu wanalaumu Candy kuhusu uigizaj wake ila tukumbuke hyo ndo scene aliyopewa....pia anafanya movie iwe nzur zaid ili isipoe ❤🎉

DominPallangyo
Автор

Leo nimewahiiii❤❤❤from saudia Arabia 😂🎉🎉likes za Mr tasha na zatiti...kai hongera sana kwa juhudi juu ya tasha nani amefuraha kumuona bi zuu

NancieKatana
Автор

Jaman nawapenda watazamaji wote wa busati kama wanipenda like apa

OfficialEmmy-br
Автор

Wenya walikua Wana miss bibi zuri jaman tuko wangapi

Mwanasiti-dx
Автор

Yeyote utakayesoma hii coment mungu akuhamshe salama kesho asubuhi inashalaaa🤲🤝🙏🤲🤝🙏🤲🤝🙏🤲🙏🤲🤝🙏

mohamedlopa
Автор

Sasa sania anasema nakutumia location lkn pia zima cm sasa hv 😂😂😂😂sasa location inatumwaje na cm imezimwa😂😂😂😂😂😂kuna vipande mnatuzingua

ireneevaristo
Автор

nimewahi 🎉🎉🎉 kwa wote me leo sijawahi kuomba like bali nina swali jaman nini maana ya mwazini?

LuciaBukula
Автор

Kama unamaono yakwamba Tasha na zatiti nimke namme nipe like zangu

bayubaheallydelly-rnzv
Автор

Candy na roho Yako mbaya utaishia pabaya dadangu si uache jamani roho mbaya candy huna maisha ndugu yangu Mimi nakwambia utanikumbuka Candy

JulietSanita
Автор

Hii part imekuwa fupi mno jamani busati, nimetamani sana kumuona baba akienda kwa Tasha mara kipindi kimeisha, ongezeni muda jamani

NgalamnyaziScolasticah
Автор

Team hammam kama haujalala gonga like tukisonga🎉

ceciliawilly
Автор

Nimeisubir nikadhan Leo haipo kumbe mlitaka kunipiku kiss me nachelewaga, , , sawa lakn na mm sijachelewa sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 yangu

FinindyFiana
Автор

Bora maika umuashe bibi zuuuu analala tu wajuky zake wateseka uku batuli kaa Kwa makini bibi zuu tup njiani safi San bibi zuuu ❤❤❤

MwanaMwana-wzol
Автор

❤❤❤ila Tasha bana unakera unamsikiliza Sania kweli jamani eti kinakitu anataka kukwambia kuhusu chiko na ww unakubali na sm unazima khaaa😢 ngoja Sasa ukatekwe

reginaIssa-mj
Автор

Wanao. Amini Zuu atalindwa na Bibi Yake gonga like nimefurahi kumuona Kai anamjali mkewe Mr Tasha usizime simu kwa mikwala ya sania utaupounza utatekwa kweli Kai akikukosa simuni

HanifaHabibo
welcome to shbcf.ru