'Haji Manara angekuwa mpiga debe kama isingekuwa ....' - Antonio Nugaz wa Yanga

preview_player
Показать описание
Ni kwenye kipindi cha Kurasa za Mwisho cha Azam Sports 2 kinachoruka kila Jumamosi saa 3:30 asubuhi.

Nugaz ambaye ni Afisa Mhamasishaji wa Yanga amempongeza Msemaji wa Simba Haji Manara kwa kuitumia kuitumia vizuri fursa aliyoipata ndani ya Simba.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Haji sio level yako unamchokonoa hakujibu namshukuru Haji hakujibu we inafaa ujibishane na Massau mbaya zaidi umekua msemaji ktk timu mbovu kuliko.

mickmaheka
Автор

Nugaz kwanza wajumbe wa kigamboni baadae.

happyshayo
Автор

Waandishi wote na wasemaji ni wapiga debe

borisssop
Автор

Mtu akiwa na mambo ya majungu jungu kusengenya mara nyingi ni mwanamke, shaka yangu manara na ivi mweupe na was was.

mrishorashidy
Автор

Huwezi pata umarufu kwa haji pambana na hali yako

abelmahenge
Автор

Baada ya Mwaka mmoja kupita nakuja kumuelewa leo #Antonio Nugaz alikuwa na tafsiri gani....
Respect kwako !!

hakimabdul
Автор

Aujilewi umeishiwa sela haji siyo levo yako wewe pambana na mbute mbute wezako🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🦎🐢

hidayaking
Автор

Wewe mwenyewe ulianzia Simba unajifanya una dharau. Wewe mrembo tu acha mipasho!!

tellyandrew
Автор

Huyu jamaa kaajiriwa kwa ajili ya haji mpuuzi tu

philemonwarioba
Автор

Mkunde simba wamelala? Mpumbavu wewe unaudhi

saidseleman
Автор

Haji naomba ukae kimy kwa huy mjinga, jibu la mjinga kukaa kimya

khadijakhadija
Автор

Akijibu msilaumu na msilie haji kiboko yenu utopolo wakubwa nyie

borisssop
Автор

Ahahaaa we mchokoze tu anakuona ujue ohooo...

farajaluvanda
Автор

Wee kavu kweli moyoni mwa haji uliingia

babdulla