Huyu mimi kabisa yaani 😂😂😂😂😂 🙌 sijui tumegombana wapi na viatu virefu mwanzoni nilikua navaa vizuri tu jamani sasa hivi difiki mbali naona kama natembea hewani 😅😅
Daniella
Yaani nilifurahi sana Hamisa kutomulika huyu mamma kwenye sherehe yake, nukikumbuka enzi za Zari alivyokuwa anambuli Missa wetu. Yaani Mungu huyu Asante sana kwa mstiri msichana wetu ❤❤❤❤
samiraabdimahamed
Kwa unene huo ndio maana unaachika sana huna maajabu kiuno kizito kama injini ya Gali hata kukata kiuno huwezi kabisaaaa