RAIS SAMIA ALIZWA MAUAJI YA MZEE ALI KIBAO WA CHADEMA “NILETEENI TAARIFA TUKIO BAYA SANA”

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

🖤..machozi yetu yatalipwa minafunga Nakusali sina budi kusema amen 🙏🏾

mosesfutila
Автор

Hivi ule msemo unaosema ati serikali ina mkono mrefu ulishiaga wapi, hadi ushindwe kuwanyaka watekaji

Princemahamba-mp
Автор

Nchi ya hovyo hiii hakuna demokrasia tanzania😢😢

NellyDibaling
Автор

Inalillahi waina ilayhi rajioun. Allah amlaze pahala pema kwenye wema. Amin ya Rab 🤲

aaasa
Автор

Miaka mi3 mauaji utekaji watotowanaibiwa tukimpa miaka5 hari itakuweje itakuwambayasana kiongozi wa inchi asiyesimamanakukemea mauaji na utekaji huyohafai kuongoza taifaretu

RizikiMlela
Автор

hiv hizo laana watu wanazotoa unazini Kuna mtu atasalimika Hy sio kweli mwenzi mungu Hana sifa hizo kwahakika mwenyezi mungu atawahukumu hukumu ngumu kuliko hiyo mwenyz mungu awalaani hadi vizazi vyao

shabanimussa
Автор

Wewe mama mnafiki.mkubwa kama hujazaa mnatumana tu

tanzcanmediatv
Автор

Leo ndiyo inafahamika km Kuna utekaji nakumbuka mawiki ya nyuma spika wa bunge Tulia alisema Tz hakuna utekaji vijana wanajiteka wenyewe mara vijana wanasafiri kwenda kutafuta maisha wamechoka kukaa Tz. Raia kwakweli tunaomba serikali itupe majibu yaliyosahihi huu utekaji tumechoka kila kuchapo mauaji, utekaji, ubakaji. Tumechoka

AlHamra-ku
Автор

Mama ndio serikali anahusika hiv anajiskiaje kuwa madarakani uongozi wake wa ajabu it’s very sad haijawahi tokaea Tanzania 💔

mr.yahzadochuno
Автор

Kama ilivyokuwa Kwa waliowaua watumishi wa Mungu Agano la kale, Mungu tenda Kwa viongozi hawa

chamimdesa
Автор

Mi nasema kkabisa kuna genge Fulani lililo nyuma ya serikali linalofanya huu utekaji na mauwaji kwa viongozi. Linatumia mgari sa serikali pesa za serikali na vyeo pia.

IshipalemyPasko
Автор

kwa kweli Allah ataamua huu usani wa kuuwa watu tena wasio na hatia Inshallaj Allah atatenda

jumannendayigeze
Автор

Inachanganya...naogopa kulaumu yeyote. This is too bad..Mungu ibariki nchi yetu.ilove you my country.

believemsolwa
Автор

😭😭💔 kumuuwa mtu ambaye hana atia inauma tena inauma sana jamani MUNGU aipe nguvu family yake MUNGU wangu tunakwenda wapi ee MUNGU

wilfredyhumphrey
Автор

Sina iman nae tena asubili kiwake ndo atajua

EliahMasebo
Автор

Hii nchi nikama hifadhi za wanyama pori, inauma sana

YohanaRichard-ep
Автор

Mbona vifo saana tanzania yetu jmn😭😭😭🙄🙄🙄nkama hakuna serikali jmn

Fofo-zt
Автор

Allah ampe pumziko la milele na amsamehe makosa yake 😭😭

mohamedkutwambi
Автор

Ukiona nchi Ina mauaji kama haya na taarifa mbaya mbaya za kina sativa viongozi Wana pwaya

ZawadyKaoneka
Автор

Nchi imekushinda, , haomakomando mnawaonyesha kila mala kwambwembwe kwenye mihadhara yenu wanakazigani? Wanafanya shoo kwambwembwe mkisema wanajeshi shupavu. Umahiri wao ukowapi? Watu wanatekwa wanauwawa harafu tunasema tunajeshi supavu😢😢😢😢😢😢

Lameckmichael-hm