WEMA SEPETU ANAKUSISITIZA KUJITOKEZA TAREHE 11-20 OCTOBA

preview_player
Показать описание

Комментарии
Автор

WaTz walio wengi kiingereza hawajui na sio lazima wajue. Wao wanaongea Kiswahili. Cha kushangaza watawala wanatumia pesa za umma kuajiri watu wenye majivuno wanaoongea kiingereza kwa mikogo, wanaojinadi kuwa ni vipenzi vya taifa bila ushahidi wowote kuhamasisha upigaji kura. Hakika kuna tatizo hapa Tz 😢😢

Brunn-mhbq
Автор

Niliahidiwa kipindi Cha makufuli ntapewa pesa nikaenda kupiga lkn ht nilikuwa cjui huo upijaji wa kura nikawa natoka nakaratasi yng nauliza ndo mara ya kwanza cku hiyo

KhadijaMasoud-mu
Автор

Ongea kiswahili dada Wema Kuna wanainchi wengi wasiojua October ni nini

kamikazineema
Автор

Mm ht Sijui lini ntapiga kura nahic Km Sito piga mpk Kufa kwangu ss tupige kura ya Nini wakati chama kimoja na Rais ni WA chama kimoja watu wanapiga kura ya Nini ss😂😂😂

KhadijaMasoud-mu
join shbcf.ru