Juma Faki/Ustaz Omary na Said Musa 'Huraira' Wamlilia Ukhty Sakina Mshana katika DUA Al-haramaini

preview_player
Показать описание
Nikatika Dua ya kumuombea Marehemu Sakina Juma Mshana Alikuwa Mtangazaji na Mratibu Msaidizi wa Radio Sauti ya Qur'an 102.1Mhz Fm ambayo inamilikiwa na Baraza Kuu la waislamu Bakwata Chini ya Ofisi ya Muft na Sheikh Mkuu wa Tanzania

Sakina aliefariki tar 30April2023Miladiyya sawa na Tar 9 Shawwal1444Hijria ambapo alianzia Dar es salaam na kumalizika Mkoani Kilimanjaro Tar 1May2023 sawa na Shawwal 10,1444Hijria.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Allah alifanye kaburi lake liwe ni bustani miongoni mwa mabustani peponi inshaallah

SharifaRajabu-ystq