Innalillahi wainna ilayhi raajioun. Allah akuongoze katika Sunna sahihi Maalim.
zanlec
Yaonesha wazi huyu Mzee hata maana ya Bida'a ambayo imekatazwa na Mtume haijui,
Mswahili-
Wanafahamu lakini wanajitoa fahamu tu basi.
binzubeir
Bidaa ni nini? Mbona masheikh munapindisha mambo makusudi ili ionekane kwamba wanaokwenda bidaa nao wanafanya bidaa, haya tuchukulie wanafanya bidaa ndio wamezuliwa kukemea uovu hata kama wao hawajauacha?
hijahamadi
Waaraba na wayahudi ndo biashara yao kubwa kumzibiti wa Africa .