RAMMY GALIS KATUONYESHA GARI YAKE YA THAMANI YA MIL 40

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mtangazaji Acha kuongelea watu ambao hawapo duniani vp angekuwa dada yako bado ungeongea hivyo?

ashaali
Автор

Hiv kwann anafanana kanumba ki sura??au ni macho yangu??

rosesamwelitenga
Автор

Hahahahahahahah ati mil40😂😂😂 dat shit u get in Zanzibar for only 17ml dah aiseee afu hiyo mzee baba sio 2014 hiyo ni 2010😂😂😂😂😂😂

villa
Автор

Watangazaji wasio na uweledi, ndio kama hao sasa, Marehemu anatajwa kwa zinaa

malickmakatta
Автор

ACHA KUTUDANGANYA CROWN YAKO NI YA 2012 kidogo nishangae maana crown yangu ni kama hiyo alafu ni 2012

opiumtaavi
Автор

Subhanallaah zinaa ina tangazwa hadharani

harounali
Автор

MashaAllaah Allaah Akubareek na kukuhefadhi

faridahalwaily
Автор

Du ! huyu mtangazaji feki, anahoji makalio ya watu na kumtaja mpaka marehemu kwa mambo ya ajabu, mpumbavu. TCRA ondoa hii kitu

tumainikyando
Автор

hata mhariri Wa habari nae jipu, coz kitu kama hakijaenda hewan lazima kipimwe.

nestorymtirackmtirack