Exclusive Interview na Mwana FA kutoka Karantini !!

preview_player
Показать описание
Baada ya Kugundulika kuwa na maambukizi ya Virusi vya Corona na kupelekwa Kalantini, Mwana Fa amefanya Interview na Kayla Medy kutoka Clouds Digital.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mwana FA ana busara sana.Keep it up brother, wewe ni mfano wa mwanamziki bora na mwenye hekima

dismasmtui
Автор

Yes my brother!nimependa unajua kuifundisha hadhira

bahatikiwambe
Автор

Get well soon brother. Mungu anaweza kila kitu. Yawezakana anakupima imani yako. Usikufuru shukuru, utapona na tutakua pamoja kulisongesha. Binafsi nimependa reaction yako toward COVID-19.

arafaamour
Автор

Pore kaka yetu na mungu akubariki kwa kutugea erimu

mauwarashid
Автор

Daah, brother namsifu kitu Cha kwanza kauweka ukweli huwe wazi na ukweli ulio nyooka haswaa, kwahiyo watanzania kiukweli tumuombe mungu huu sio mda wa kupaniki, kikubwa atakae jihisi na kujiona ya kuwa wapo sahihi kwa kuficha ungonjwa nahisi kabisa hii mbinu haitakuwa sahihi, ukipata tulia na jione kawaida Tena kawaida Kama brother, daah brother Mungu akusaidie.

luckdredahtv
Автор

Naamini atapona tu ndugu yetu
Mana ni kijana mwenye busara sana
Mungu ni mwema atakuponya

aishamaulidi
Автор

Mwana f, a ndugu yangu mwenye uelewa kakuelewa. Uko vizuri sana kwa kuelimisha jamii. Hakuna gonjwa lisiloua nimemuona MTU akiumwa kipele tu. Mwingine anaumwa uchovu tu. Watanzania tulieni sikiliza matakwa ya wizara ya afya inaelekeza kufanya nn ili msipatwe na maambukizi.

onesmombelle
Автор

Mbona hata coach wa Arteta wa arsenal anasema hata yeye anajisijkia fresh tu

yudatadeshayo
Автор

Ukijizushia ugonjwa na mungu anakupa kweli.

mohamedothman
Автор

Wenye pesa mnaona ugonjwa wa Corona kama wa kawaida tu msiturubun sisi masikin huo ni ugonjwa hatari kwangu

ramadhanathuman
Автор

Ole wao waliojichubua wakikumbwa na corona kazi kwao ndio faida ya hii ngozi sasa mtambue

mtumwaharunaally
Автор

Haka katoto Kayla karembo jamani na kanajitambua.

MightyLumber
Автор

Pole sana binamu yetu MUMGU anamipango zaidi yetu

hammynassor
Автор

Ukiwa na dalili hizo Jitahidi Sana kunywa maji ya moto yenye mchanganyiko wa limao inasaidia Sana, coz sisi weusi Mungu alitupendelea miili yetu ya moto.... Kwaiyo niko pamoja na Huyo mkaka.

vailetaron
Автор

Pole sana brother Mungu azidi kukujalia uponyaji wapuzie wanaochukulia mzaha

eddynyaki
Автор

Yaaah nakubali this is simple diseases over.

bremenbdb
Автор

Mamaa😲😲😲🤭🤭🤭 kumbe Karantini ndio pazuri hvyo😳😳 Na mm kesho ntaenda🙄🙄🏃🏾🏃🏾🏃🏾🏃🏾

chebelafrank
Автор

Mbon kam cinema ii? Mmmh ngoj 2one mwsh ake

michaelnzunda
Автор

Hao wenzetu mtu akiumwaa malariaa tu wanawekwa karantini kwetu kawaida tunlienda denmark nkagundulika na malaria mm nkawa kawaidaa lkn wazungu madkt 4 wamemizungukaa na kuniweka chumbaa maalum kwa ilikua serious mm nawambia jamni nipeni dawa naondoke mbona kawaida tu ila waliniwekaa siku 5 pekeyangu hospitali mpk nikashangaa mm kwangu nlionaa ahh kawaida tu mbonaa

simbalion
Автор

Yuko pumbav mmoja mpenda kiki amepost kavideo akionesha chumba chake cha mavazi eti anachagua nguo anapack kwenye begi ati madai yake anaenda karantini kwa kuhisiwa ni muathirika. Binafsi nmemtafsiri kama ni mpumbavu kiongozi

shabanhafidhu